Previous
Next

Mkurugenzi Mkuu wa TOSCI akifungua mkutano wa wadau wa mbegu wa kutambulisha kuanza udhibiti na uthibiti wa mbegu za mbogamboga, miche na pingili pamoja na matumizi ya lebo zake kilichofanyika jijini Arusha katika ukumbi wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA)

Mkutano wa wadau wa mbegu wa kutambulisha kuanza udhibiti na uthibiti wa mbegu za mbogamboga, miche na pingili pamoja na matumizi ya lebo zake kilichofanyika jijini Arusha katika ukumbi wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA)

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania akielezea mafanikio ya taasisi yake katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari jijini Dodoma

-

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam K. Malima alipotembelea banda la TOSCI katika maonesho ya nanenane kanda ya mashariki mkoani Morogoro

-

-

-

-
