Previous
Next
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) ndugu Nyasebwa Chimagu, akihutubia wawakilishi wa makampuni ya mbegu (hawapo kwenye picha) waliohudhuria mkutano wa mwaka wa wadau wa mbegu uliofanyika tarehe 15 Mei, 2025 jijini Dodoma katika hoteli ya Midland Inn.
Baadhi ya wawakilishi wa Makampuni ya mbegu waliohudhuria Mkutano wa taifa wa wadau wa tasnia ya mbegu nchini uliofanyika tarehe 15 Mei, 2025 jijini Dodoma katika hoteli ya Midland Inn.
-
-
-
